NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV

KLABU ya Yanga imelazimishwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Al ahly ya Misri, mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la New Aman Zanzibar.

Katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa barabi Afrika hatua ya makundi, Yanga ilianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa beki wao Ibrahim Hamad.

Yanga Sc anashika nafasi ya pili kwenye kundi lake akiwa na pointi 5 huku Al Ahly akiwa anaongoza kundi akiwa na pointi 8 wote wawili wakiwa wamecheza mechi nne.


Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...