NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KLABU ya Yanga imelazimishwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Al ahly ya Misri, mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la New Aman Zanzibar.
Katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa barabi Afrika hatua ya makundi, Yanga ilianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa beki wao Ibrahim Hamad.
Yanga Sc anashika nafasi ya pili kwenye kundi lake akiwa na pointi 5 huku Al Ahly akiwa anaongoza kundi akiwa na pointi 8 wote wawili wakiwa wamecheza mechi nne.



KLABU ya Yanga imelazimishwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Al ahly ya Misri, mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la New Aman Zanzibar.
Katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa barabi Afrika hatua ya makundi, Yanga ilianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa beki wao Ibrahim Hamad.
Yanga Sc anashika nafasi ya pili kwenye kundi lake akiwa na pointi 5 huku Al Ahly akiwa anaongoza kundi akiwa na pointi 8 wote wawili wakiwa wamecheza mechi nne.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...