WAKALI wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa ushindi mzuri na mkubwa upo hapa siku ya leo. Timu za uhakika zipo uwanjani leo hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.

EPL kule Uingereza kuna mechi zitakazoendelea kibabe kabisa ambapo Aston Villa ataumana dhidi ya Brighton huku tofauti yao ikiwa ni pointi 15 hadi sasa. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000. Unangoja nini sasa kutengeneza jamvi lako la ushindi hapa?. Beti sasa.

Mechi nyingine ni hii ya Manchester City dhidi ya Fulham huku mechi ya kwanza kwenye ligi kuonana vijana wa Pep Guardiola waliondoka na ushindi. Leo hii mgeni anataka kulipa kisasi. Je ataweza kufurukuta pale Etihad?. Nafasi ya kushinda pale Meridianbet wamempa City. Bashiri sasa.

Liverpool atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Sunderland ambao wapo nafasi ya 8 huku wageni woa wakiwa nafasi ya 6. Tofauti yao hadi sasa ni 3 huku vijana wa Slot wakihitaji ushindi mnono ili kujiweka karibu na kucheza Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Jisajili hapa.

Pesa ipo nyingi kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

COPPA ITALIA pia hatua ya Robo Fainali utapigwa mchezo mmoja kati ya Bologna dhidi ya Lazio ambapo kwenye ligi mgeni alipoteza. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000. Je nani kuibuka mbabe kwenye Kombe hili la Italia?. Suka jamvi lako hapa.

Vilevile kule Ujerumani, DFB POKAL kuna mechi ya kibabe ya Robo Fainali kati ya Bayern Munich dhidi ya RB Leipzig huku kwenye ligi mechi zote mbili walizokutana, vijana wa Kompany wameibuka wababe. Je leo hii nani unampa nafasi ya kushinda mtanange huu?. Beti hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...