Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki futari na makundi mbalimbali ya wananchi katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 19 Februari, 2026.
Sehemu ya Wageni waalikwa walioshiriki futari na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 19 Februari, 2026.









Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...