Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mtoto Grace Samia Suluhu aliyemuasili tarehe 11 Machi, 2026 Ikulu ya Chamwino, Dodoma.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpokea mtoto Grace Samia Suluhu kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Nzega Naitapwaki Tukai, tarehe 11 Machi, 2026 Ikulu ya Chamwino,Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea cheti cha kuzaliwa cha mtoto Grace Samia Suluhu kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Nzega Mhe. Naitapwaki Tukai, Ikulu ya Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 11 Machi, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mkuu wa Wilaya ya Nzega Naitapwaki Tukai, Afisa Muuguzi Msaidizi II Hospitali ya Mji Nzega Bi. Mariam Amasha Usangira, Bi Lucia Philipo Saitoti pamoja na Tatu Abdi Baraka (aliyembeba mtoto Grace Samia Suluhu), Ikulu ya Chamwino, Dodoma tarehe 11Machi, 2026.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...