Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Habib African, Bw. Faraz Haider (Kushoto) na Mwenyekiti wake wa Bodi wa Benki hiyo anayemaliza muda wake, Bw. Zain Habib (kulia), baada ya kikao chao kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaaam, ambapo wamezungumza fursa mbalimbali zilizopo nchini hasa katika uwekezaji katika Nyumba za makazi za bei rahisi katika miji inayokuwa kwa kasi nchini.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia) Akimkabidhi zawadi ya baadhi ya bidhaa za kilimo zinazozalishwa nchini, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Habib African, Bw. Faraz Haider, baada ya kikao chao kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaaam, ambapo wamezungumza fursa mbalimbali zilizopo nchini hasa katika uwekezaji katika Nyumba za makazi za bei rahisi katika miji inayokuwa kwa kasi nchini.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WF, Dar es Salaam)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...