



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka michu naona hapo mke wa Mh Makamu wa rais anapewa Nyungo sio Mahot pot. Ama kibongo bongo inakuweje hapo?
ReplyDeleteMdau Ughaibuni
Jamani picha ya tatu Mrs Shein viatu vyake mbona sivielewi
ReplyDeletemichu huyu baba kwli ni mwana chukua chako mapema, kwani hawa watu kambarage ndo alikuwa anawatafuta mtizawe mke wake jamani mh baba wa watu hana makubwa
ReplyDeleteAnon. wa pili inabdidi uelewe tu kuwa huyo ni bi mkubwa wetu, sasa hivi stileto hazimfai tena,
ReplyDeletePia ni utamaduni wa wazanzibar walioupokea enzi za usultan, wa kuvaa mitarawanda na makubadhi hivyo si shani kwao viatu vya mchuchumio au dumbukiza kila wakati, na ukichunguza kwa makini wengi wa wakaazi wa huko hata ikiwa kiatu kina kisigino bado kitakuwa cha kuchomeka, na hiyo ni kwa kurahisisha kwa matembezi na urahisi wa kuvua kwa haraka anapotaka kuingia ndani ya nyumba yake au nyumba ya ibada upo hapoooo