

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
safi sana abhanyagwanda. mulakoze chane, kwa mlichokifanya. ni muhimu sana kuandika historia, na hiyo inatia moyo kuwa sio APR tu, hata nyie mnaweza. Prison walitakiwa pia kujifunza kutoka kwenu, kuwa woga hausaidii, na sio simba tu na yanga ndo wanamajina tanzania.
ReplyDeleteBIG UP.
..japo nao wameonja machungu walosababishia yanga hapa dar es salaam, enzi za akina aboubakr 'sureboy' salum..
ReplyDeleteongera sana... kuchukua ubingwa ugenini ni kazi kubwa hasa hasa kwa nchi kama sudani katika ukanda wetu huu.
ReplyDelete..kuna picha zimetundikwa kuleee nyuma,sio yule jamaa anatafutwa na OKAMPO wa ICC??
ReplyDeleteyan sudani wanabeba kombe sie tupo tuuuuu!!!