.jpg)
.jpg)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
lol, agrey umekuwa kama askari wa jiji kivazi hicho mwana kimekutoa
ReplyDeleteCHADEMA OYE!! Ndesamburo hoyee! Mbowe hoyee!!
ReplyDeleteAggrey tuambiane bwana. ni ubunge 2015 unaounyemelea au...maana nakuona siku hizi mmh...haya bwana, anza kuvuta kasi sasa kwani 2015 siyo mbali hiyooo...na Ndesapesa hatagombea...kazi kwenu. Kwa Oktoba hii mwanangu nakushauri usitie pua...utaangukia pua..waachie waliomo kwani bado wamo....si unawajua?? Balozi Nkya, Meja Jenerali Mstaafu kamanda Mbogo, Mama wakili....sijakutajia akina Faraji Kibaya akina Shamba ambao ndio watoto wa hapohapo.
ReplyDeleteHalafu nikuume sikio mwanangu...kuna mtoto wa mtaa wa chini mfanyabiashara mtanashati anayeitwa Chepe naye yumo mbioni.
Kazi kwenu