kuna jamaa kaomba kuona sura za hawa wazee ati kaondoka bongo siku nyingi kiasi kawasahau...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. hapo mzee alikuwa amejiandaa kumkabithi moringe nchi si ndio?

    ReplyDelete
  2. Namwona Mzee Aboud Jumbe na Mzee Sokoine.

    ReplyDelete
  3. Bwana Michuzi sipendi kukuvunjia heshima yako, lakini mimi ni mtaalamu wa kusafisha hizi picha za zamani na kuonekana kama ya jana. Nitumie e mail yako nitakutumia picha nilizosafisha kutoka katika blog hii. e mail yangu ni ...mambohayo@hotmail.com

    ReplyDelete
  4. Michuzi,
    Umeleta utamu wa aina ya pekee kwenye blogu zetu. Ninapenda unatupa picha sio tu za sasa bali za zamani.

    Picha hii nimefurahi kumuona Morani wetu. Unaona anavyomcheki Mwalimu? Hivi Mwalimu alikuwa akimuogopa?

    ReplyDelete
  5. Ndesanjo, hakumuogopa bali alikuwa anamzimia kwani alikuwa ana uwezo/gut wa kutekeleza yale ambayo yeye alikuwa anayaona ndoto....mfano wakati huo alikuwa haangalii makunyazi na alijiandaa kuwapiga chini kuanzia kina cleopa wakati nyerere sana sana alikuwa anawachekea na kuwabadilisha kituo wakiboa!!- nyerere alipata pigo sana kwani kwa kipindi hicho aliishajiandaa kumwachia nchi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...