jeff, jeff, jeff, jeffuuuu. hukonmi kwa ni nini. ona sasa hata pa kudondokea huna. we unafikiri yanga na simba mchezo. ona sasa leo yanga kashinda 0-0 kwa mara ya kwanza ndani ya michezo 6 waliyopambana mfululizo. john mwaipopo una haki ya kupiga baragumu usiku kucha kushangilia ushindi huu wa droo leo!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Jefu, kwanini usiwe unajificha chooni toka alfajiri kisha ujitokeze kambumbu likianza?

    ReplyDelete
  2. Kibao inaanza kugeuka polepole.

    ReplyDelete
  3. ukijificha chooni utanuka choo mwili msima baba jeff usikubali kabsaaa.
    mimi Lyatonga hapa.

    ReplyDelete
  4. kha mnasema kunuka mmesikia stori ya mshikaji aliwatoroka polisi muhimbili wodini halafu akaingia ndani ya bwawa ya vinyesi...polisi wakalizingira bwawa...huku wameziba pua....katika hali iliyopelekea kuwa yule jamaa si wa kawaida alikaa ndani ya bwawa masaa mawili....ilipoisha masaa mawili akajua kwa vyovyote polisi watakuwa wameishia kuibuka wakamlamba ya bega...amerudishwa muhimbili ila mpaka leo ni kizaa zaa juu ya uwezo wake...

    jeff nakushauri ukubaliane na mpango wa kubana chooni..inawezekana tu tena sana..bora nia!

    ReplyDelete
  5. Kumbe michuzi ni mshabiki wa SIMBA???????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...