Home
Unlabelled
profesa ughaibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi nitumie e-mail chemiche3@yahoo.com
ReplyDeleteWee Chemichemponda aidha akili yako si nzuri au unajifanya. Huyu Bwana Michuzi ameianika email yake kwa yeyote anayetaka kuwasiliana nae. Sasa kwanini usimwandikie tu badala ya kutafuta mabwana wengine humu ili wakuandikie? Tumia akili
ReplyDeleteAnony,
ReplyDeleteChemi ana mme wake tena Mchungaji, hawezi kutafuta mabwana humu. Pia ni mtoto mrembo sana si unaicheki midomo hiyo, hivyo anatafutwa siyo anatafuta. Hata hivyo nimeupenda ushauri wako, Michuzi katoa e mail yake mara kibao humu lilikuwa ni swala tu la yeye kumwandikia na kueleza masahibu yake.
Tusubiri tuone kama na yeye hatoenda kucheza juu ya meza kama alivyofanya Mr.Nice kule Ohio,Marekani.
ReplyDeletewewe ndesanjo na wewe kujifanyaga kutetea mambo ya ajabu urembo unahusiana nini humu ndani na uzembe aliofanya.
ReplyDeletechemi mi nilisham disqualify siku nyingi tu mbona,nyinyi ndo mnagundua leo kuwa mchemfu huyo...
ReplyDeleteuzuri wa sura siyo busara,ndo maana viongozi wengi huoa wake wa kawaida sana....coz upstairs(kichwani)kuko safi...
jamani chemi ni dadaangu, halahala jamani. nimefanya naye kazi deilinuizi miaka kama nane hivi, kabla hajaenda marekani. ni binti na mtoto mkubwa wa prof. alec chemponda, mama yake ni mmarekani. hivyo naomba msimsakame, au vipi bandugu bapenzi?
ReplyDeleteNadhani hakuna mtu aliyemsakama zaidi ya kumweleza ukweli tu. Mtu ambaye umefanya naye deiliniuizi miaka 8, mtoto wa prof na mama yake mmarekani hana contacts zako!
ReplyDeleteYaani hapo michuzi na wewe hujaeleweka...hayo maelezo hayaelezi kwa nini chemi kafanya upumbavu huo humu ndani...kuwa mtoto wa kwanza au wa mwisho,wa mmarekani au wa mchaga sio warrant ya kuandika pumba humu...
ReplyDeletehuyo ni limbukeni anapenda publicity,mi nshamjua.......fala tu huyo
Huyu chemi ndiye yule chiku wa kule YA. Anapenda sana attention na mboroz!! Hana kazi na anafahamika kutemebeza porojo za ngono na riwaya uchwara za ngono kuanzia usubuhi hadi usiku wa maanane. Halafu eti kaolewa na mchungaji na ana watoto wakubwa!! Mwangalie sura kaa mama yake Mike Tyson!!
ReplyDeleteJamani Huyu dada kaomba tuu atumiwe Email hakuna kosa lolote hapa. kwani ukimwambia mtu akupigie simu ina maana huna number yake? ......
ReplyDeletechemi, mambo. vipi huko. naona si mabaya. unakuja lini bongo. tume-kumiss kweli. cheki email yako, nakutumia yangu kama ulivoomba. nakutakia maisha mema...
ReplyDeleteDada Chemi pole sana.
ReplyDeleteHao ndiyo watu na hasa WABONGO.Nashindwa kuelewa hasa tatizo lao ni nini? Hebu piga moyo konde na usonge mbele.Wao ndiyo wabaya.Kwanini wao hawajitambulishi.Kama ulivyo fanya wewe.Kwa umri na eksipojha ulionayo nadhani haya hayatakukatisha tamaa.Ima ni utoto au ni ulimbukeni.Lakini ninaomba usijibizane nao kwani utakuwa unapoteza muda wako.Hivi mtu anasema unatafuta mabwana kwa kueleza mikasa mizito ya maisha kama ule wa kwako.Lakini kupitia kwako ninapenda kumpongeza Michuzi kwa kutowajali.
Pole sana dada yetu bado tuko nawe.
Teh teh teh teh,
ReplyDeleteMichuzi unamfanya Chemi kama mtoto vile, yaani umeamua kumwandikia hadharani ili kumfurahisha sawa na tunavowafurahisha watoto wadogo kwa lawalawa!! kwi kwi kwi
Chemi umefurahi email ya public hiyo??? hahahaa kweli kuishi kuona mengi!!
Chemi that is pure publicity stunt if all you wanted was email adress what was your picture for then eh?
ReplyDeleteAny way that was a good movie and as there are no Public Enqiery in Tanzania why not use Michuzi s blog for PR excersize eh ? nice try
msenge tu huyo,halafu kila moni anayoandika lazima aseme "unajua hapa Boston pako hivi na hivi,..."pumbafu sana wewe,umeshaona nani humu kataja sehemu alipo?unafikiri boston ndo nini bwana,unajua ushamba ni mambo mengi....unajua mtu hata kama umevaa chupi ya gharama kiasi gani,ukishaitaja hadharani kuwa unajua chupi hii nilovaa bei yake kali sana tayari thamani yake inaishia hapohapo...
ReplyDelete