timu ya taifa ya wanawake, twiga staz, na waalimu wao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2006

    mmoja wao alikufa maskini!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2006

    Dah...! hawa ni Twiga au Yanga? sielewi hebu nisaidieni

    Na hao waume zao wako na kazi kwani wanawake hata kaulaini kwa mbali hawana!..........

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 02, 2006

    Hii mi naona ni yanga, (Twiga - Jangwani) + njano = Yanga. Teh tehe teh. Kwanini wau wasiwe wabunifu walau jezi zikawa zinareflect huyo twiga tunayemsema?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 02, 2006

    Twiga wamevaa jezi za njano na mistari ya kijani kwa kuwa bendera ya TZ ina hizo rangi. Hii ni timu ya taifa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 02, 2006

    Bendera ya taifa ina rangi mbili tu!? Taifa gani hilo unalosema weye? Hebu rudia tena tena masomo yako ya uraia na jiografia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...