Home
Unlabelled
kiwinta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Babaa hiyo tai 2 niambie umeinunua wapi maana imekuwasha kichizi, mimi unania hapo tu unavyojua kuvituliza ukiamua. mwendo mzuri baba.
ReplyDeletesuti imetulia....
yaani wewe kweli ni mheshiwa mtarajiwa michuzi.una kapesonality fulani hivi magufuli si magulifi,makamba si makamba ,we acha tu.
ReplyDeletesuti imetulia...
ReplyDeletemichuzi mzee unambwembwe...alafu unajua mapozi mzee..inaelekea michuzi pozi ulizianza zamani..tangu enzi za kupiga picha umeshika moyo au umeshika kiua..natania michuzi..umetoka pina babake..big up!!wakati wa harusi yangu nitakuja kuazima suti yako..nimeona harusi nyingi za kibongo watu hawavai suti nzuri za kuwakaa kama wewe ulivyotoka michuzi..
ReplyDeleteHivi Michuzi umeoa?
ReplyDeleteahhhhaa,michuzi unaonekana handsome boy,nipe no yako basi!
ReplyDeleteasanteni wote. marita statas yangu kwa sasa ni siri. ila namba ni +255 22 211595 (ttcl, ya job, hahaha!)
ReplyDeleteAhhhhhhhhhhhh Michuzi mbona nimepiga ikapokelewa nikaambiwa niya mochuari au nilikosea kupiga (LOL)
ReplyDeleteAi Michuzi jamani unatubania eeh,no mbona haipatikani jamani!!
ReplyDeletemimi nampa hongera my wife wako maana bila yeye kuchangia vitu haviwezi kutulia nama hii.
ReplyDeleteMichuzi hiyo 16-24 ni summer time yetu huku ndio tunavua nguo na kwenda beach! ha ha ha! Winter ni -5hadi -10 freezing point! Hiyo siyo winter bwana, ni uvuguvugu unatokea Southern ndio unawapatapata huko bongo.
ReplyDeleteMIchuzi umependeza sana na hiyo suti napenda personality yako well done to your wife LOL.
ReplyDeleteHapo juu kwa Dodoma nyuzi 16-24 wao ni baridi haswa tena usiombee ya dodoma unabauka kishenzi sweta utalitafuta huku majuu climate ni tofauti muache michuzi avae suti ni muhimu kwa Dom trust me!!!