wah. bwana mapesa dk. harrison mwakyembe jana usiku bungeni dom. hii ni baada ya dk. mwakyembe kulalamikia tabia ya 'kuchimba dawa' iliyomea kwenye mabasi ya masafa marefu na akaomba vyoo vijengwe barabara kuu ili kuondoa adha ya watu wa jinsia na umri mbalimbali 'kuchimba dawa' bila noma maporini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 28, 2006

    Tabia ya kuchimba dawa inatia aibu sana,especial kukiwa na wageni kutoka nchi zilizoendelea,wanashangaa sana hichi kitendo cha watu 50 kushuka na kwanda kuharibu mazingira,kwa watu wenye akili ya biashara huu unaweza kuwa mradi mzuri kwa kuanzisha vyoo safi vya kulipia,ila ujambazi du hawakawii kuja kukukaba huko huko na mradi wako wa choo,but i bet some one can make a lot of money for this.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 28, 2006

    Michuzi alivyosema mh ni kweli kabisa na wakati mwingine ni hatari wacha tuu.Siku moja nikiwa safarini dar-nairobi-dar mama mmoja wa makamo almanusura achangamkiwe na mnyama mkali huko vichakani nyakati za jionijioni hivi sijui alikuwa ni fisi au nyang'au yule?! ilikuwa patashika nguo kuchanika!Huku ughaibuni mabasi yote ya masafa marefu yana vyoo na viyoyozi,pia karibu kila kituo cha mafuta kina vyoo,mgahawa na wakati mwingine hata viduka vidogo,ten ni biashara nzuri tuu!Nafikiri watu kama shell ,bp,total nk wanaweza kulishugulikia hili kam wafanyavyo huko makwao.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 28, 2006

    Kweli kabisa utaratibu wa haraka inapidi ufanyike maana, tunajidanganya tunaendelea wakati bado tunajisaidia vichakani ni aibu sana na jambo la kusikitisha, nadhani kabla ya kuamua kujengamajengo yanayo cost mamilioni ya pesa serikali ingefikiria mambo kama haya.

    tusikimbilie kufanya makubwa wakati yale madogo na ya msingi yanatushinda.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 28, 2006

    unadhani watu watakojoa ndani ya iko choo basi!!watakojoa nyuma ya ukuta..iko choo labda waweke mlinzi wa kuwachunga watu..kwa wenzangu labda mlisoma mitaa ya azania na tambaza..vile vyoo vyetu nadhani mnakumbuka hali ilikuwaje na hapo ni katoikati ya mji mpaka vikawa vinafungwa..si kwa ajiri hawapendi vitumiwe..ni watu wenyewe ustaarau hamna bora kuchimba dawa..wakasaidia kwanza muhimbili kununulia wagonjwa mashuka mapya..yaani waziri alikuwa anaenda bungeni hapo kabanwa na mkojo kakosa pa kukojoa ndo kapata wazo la kuchangia..

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 29, 2006

    ni wazo zuri..kama sio alibanwa na choo wakati anaenda bungeni na kupata wazo hapo hapo..maana hao wazee nao hawakumbuki pia muhimbili wagonjwa wanahitaji mashuka na dawa...ila nakuwa na wasiwasi hivyo vyoo watu kama hawajavikimbia au kuleta kipindupindu..maana kwa watu labda mlisoma mitaa ya azania na tambaza ivi..vile vyoo vyetu mpaka vilikuwa vinafungwa si kwa nia mbaya watu wasitumie ila watu ni ustaarabu hakuna..mpaka wanafunzi wenyewe tulikuwa tunakojoa nyuma ya choo unakojolea ukuta..ndani hapatamaniki..sasa na kama kule porini dodoma huo mradi wa kuvuta maji ya kupeleka kwenye ivyo vyoo..si itakuwa tabu wakati barabara zenyewe zinawashinda kutengeneza.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 30, 2006

    Anony wa kwanza hapo juu ni mpumbavu sana wewe. Wewe wasiwasi wako ni wageni wako tuu waliotoka nchi zako zilizoendelea na siyo usafi na ustaharabu wa kimaendeleo ya binadamu. Mbona hao wageni wako wa nchi zako zilizoendelea hawatahiriwi na sisi hatuwashangai? Fanya mambo ya kimaendeleo kwa ajili yako na jamii yako na wala siyo kwa kuwafurahisha wageni wako wa nchi zako zilizoendelea. Kiwete wa akili wee

    ReplyDelete
  7. una nini na wanyakyusa wewe? very arrogant people.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...