tausi likokola ni mmoja wa walimbwende wa bongo wanaotangaza nchi vyema ughaibuni. hapa alipotembelea shule ya sekondari ya wasichana jangwani, dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2006

    Haya basi kuja kujitambulisha lakini mbona haonekani kama mlimbwende jamani, kakomaa. haya hongera lakini dada hongera.

    ReplyDelete
  2. kwa anony hapo juu...
    Tausi ni mwonesha mitindo ya mavazi.. na kufanya kazi hii sio lazima kwamba uwe na urembo wa miss world. Ila uwe na mvuto wa kipekee utakaofanya watu wakuangalie mara 2, 3.
    Ila ukiachana na hayo, dada huyu still analipa sana tu, sema labda picha hiyo hapo haijamtoa. Angalia picha zake zingine kama sehemu hii:

    http://www.tausidreams.com/t_books.php

    Ila cha kufurahisha zaidi kwa Mrs. Likokola (ndio kaolewa) amabye amekuwa akiishi na kufanya kazi zake nchini Ujerumani kwa muda sasa ni kuwa uzuri wake ni zaidi ya Urembo tu.. ni akili pia. Yeye ni mwenyekiti wa mfuko wa kusaidia walioathirika na ukimwi na pia ni mtunzi wa kitabu cha The African Princess"
    pia shule imelala hapo sio kichwa maji kama baadhi ya warembo wetu.

    ReplyDelete
  3. Peter umenifurahisha sana kumsifia huyu dada maana tumezoea kuona watu wanawaponda tu hawa dada zetu, jamani siku nyingine muwe mnafagilia ingawa kuponda ni njia moja wapo ya kurekebishana

    ReplyDelete
  4. Nashukuru Rhxoqsa na Emergencypoison.. eeehh bwana mi naamini toa sifa panapostahili. Na penye kosa kosoa... madongo yapo kama utani au kama njia ya kurekebisha watu wasiokwenda sawa. Ila saa nyingine inakuwa kama vile watu wanakuja kk blogu hii (na nyingineze) na tovuti kadhaa za majadiliano kutafuta pa kuponda tu.

    Kaka yangu Emerg nimefurahi kumbahatisha kijana mwingine wa Mzumbe hapa. Jina kamili nani lakini maana profile yako inasema tu "emergencypoison" hehe. Mi nipo Kanada; nishtue ktk peternali@hotmail.com... unaweza tembelea blogu yangu pia: wakatinihuu.blogspot.com

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2006

    wewe peter acha bwana, unanyemelea nini hapo pia? Maana inakuwa kama umefanya hii topic kama personal. Ni maoni tu yangu binafsi nilivyoona maana huyu dada simjui, na labda ni kweli kama ulivyosema ni mzuri sana ila picha hii haijamtoa vizuri. Basi nitatembelea hii sehemu uliyoitoa ili nimuone vizuri. Asante.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...