balozi wetu wa kudumu umoja wa mataifa dk. augustine mahiga akiwa na waziri wa mambo ya nje wa jamhuri ya watu wa korea Ban Ki-moon majuzi jijini nyu yok. Huyu bwana leo kateuliwa kuwa bosi mpya wa umoja wa mataifa kuanzie desembe 31, mwaka huu koffi annan atapoachia ngazi. soma zaidi hapa chini:

samahani wadau mwenzenu inglishi iz noti richebo vinginevyo ningetransleti...

Ban Ki-moon next UN Secretary-General

13 October 2006 – Applauding in acclamation, the United Nations General Assembly today appointed Foreign Minister Ban Ki-moon of the Republic of Korea as the world body’s next Secretary-General, to succeed Kofi Annan when he steps down on 31 December.
Smiling, waving and nodding to the members of the 192-nation body, the man who will become the world’s top diplomat for five years on 1 January, was escorted by the UN Chief of Protocol through the Assembly central aisle to the podium.
Addressing the assembled delegates, the Secretary-General-designate, who will become the UN’s eighth chief and the second from Asia, pledged to carry out reforms, building on Mr. Annan’s legacy.
“My tenure will be marked by ceaseless efforts to build bridges and close divides. Leadership of harmony not division, by division not instruction, has served me well so far. I intend to stay the course as Secretary-General,” he said.
Mr. Ban referred to his own reputation of modest demeanour. “Asia is also a region where modesty is a virtue. But the modesty is about demeanour, not about vision and goals. It does not mean the lack of commitment or leadership. Rather it is quiet determination in action to get things done without so much fanfare,” he declared.
“This may be the key to Asia’s success, and to the UN’s future. Indeed, our Organization is modest in its means, but not in its values. We should be more modest in our words, but not in our performance.”
Mr. Ban noted that the road towards peace, prosperity and dignity for all has many pitfalls. “As Secretary-General, I will make the most of the authority invested in my office by the Charter and the mandate you give me. I will work diligently to materialize our responsibility to protect the most vulnerable members of humanity and for the peaceful resolution of threats to international security and regional stability,” he said.
Underlining the efforts to reform the UN, he declared: “Let us remember that reform is not to please others, but because we value what this Organization stands for. We need reform because we believe in the future. To revitalize our common endeavour is to renew our faith not only in the UN’s programmes and purposes but also in each other. We should demand more of ourselves as well as of our organization.”
Mr. Ban is no stranger to the world body. Earlier in his diplomatic career he served in his country’s mission to the UN and in 2001 was Chef de Cabinet to then General Assembly President Han Seung-soo of the Republic of Korea.
Welcoming Mr. Ban, President Sheikha Haya Al Khalifa of Bahrain said his appointment comes at a time when the UN is deeply engaged in a wide-ranging reform process.
“We are grateful to Secretary-General Kofi Annan, who has played a major role in shaping a clear and comprehensive vision to address the many global challenges confronting us,” she declared. “I am confident that the Organization will build upon its past achievements and move ahead to become an even more effective body under the leadership of Secretary-General designate Ban Ki-Moon.”
Mr. Annan hailed Mr. Ban as a “future Secretary-General who is exceptionally attuned to the sensitivities of countries and constituencies in every continent – a man with a truly global mind at the helm of the world’s only universal organization.
“More than 50 years ago, the first Secretary-General of the United Nations, Trygvie Lie, used the following words in greeting his successor, Dag Hammarskjöld, and I quote: ‘You are about to take over the most impossible job on Earth,’ end quote. While that may be true, I would say: this is also the best possible job on Earth,” he added.
The chairpersons of the UN’s five regional groups and a representative of the United States as host country each took the podium, praising the Secretary-General-designate for his diplomatic skills and personal qualities, and said the world body would be in able hands as it faces the challenges to come. They paid tribute to Mr. Annan for his work in steering the UN through 10 difficult years.
The last Asian Secretary-General was U Thant of Myanmar (then called Burma), who left office in 1971

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Michuzi na wanataaluma wa elimu ya uraia naomba nipatieni elimu ya uraia hasa kuhusu hiki cheo cha katibu wa KUDUMU katika taasisi za serikali za ndani na nje.Mtu anapokuwa katibu wa "kudumu" maana yake nini hasa?hili neno wa KUDUMU linanitatanisha sana.Ni kwamba ni kifo ndicho kinachomuondoa madarakani au?Ni nini hasa maana yake?

    ReplyDelete
  2. Neno KUDUMU linatokana na neno la Kiingereza PERMANENT. Kwa mfano, tanzania tuna Permanent Secretary wa Wizara (kulingana na utaratibu wa serikali tuliorithi kutoka kwa Waingereza). Huko Uingereza, Permannent Secretaries wanaendelea kuongoza wizara za serikali hata kama serikali ya chama tawala (Labour, Conservative au Liberal) kikishindwa katika uchaguzi mkuu.

    Katika Umoja wa Mataifa, kuna utaratibu wa ofisi zake za ubalozi kuwa za kudumu, hata kama nchi inapinduliwa, inatolewa uanachama (kama ilivyokuwa kwa Makaburu wa Afrika Kusini), au haina serikali (kama vile Somalia), ofisi hiyo ipo pale pale bila mwakilishi. Kwa hiyo, natumaini kuwa tusemapo "balozi wa kudumu", haina maana ya mtu binafsi mwakilishaji bali ni "ofisi".

    ReplyDelete
  3. Kwanza usitoe tafsiri ya maneno ya kiingereza. Huko sio kujibu swali. Lugha sio swala lenyewe hapa.

    Pili, kama unasema "natumaini" ni kwamba huna uhakika. Kwanini unatufahamisha wakati wewe mwenyewe huna uhakika?

    Turudie tena: Hii ni ofisi ya kudumu au balozi wa kudumu?

    ReplyDelete
  4. Anon hapo juu, sio...elimu ya uraia; ni...elimu ya diplomasia!

    ReplyDelete
  5. Balozi mahiga na mke wake ni lazima warudishwe Bongo. SABABU - Rais JK alivyo kuja NEW YORK matayarisho, chakula (alikodi waganda)it was not acceptable. Terrible presentation, terrible food etc. Mlitutuia aibu watu wa New York. Wakina mama tunaweza kupika bure. Vile vile, msiweke tena zile choo bila taa kwa watanzania kutumia. Kuna choo nyingi sana ndani ya nyumba. Vile vile, kwanini Balozi ulishau kumtambulisha mke wa JK?? JK tafadahli rudhisha hichi kituko na mke wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...