Home
Unlabelled
lebo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani hizo lebo ni za kuondolewa, hivyo mzee michuzi nenda kaondoe mchizi wangu !!!
ReplyDeleteTazama email yako kaka michuzi.. Halafu hiyo Lebo iondoe...Unless unataka kuiuza tena hiyo Suti.... Hehehehe.
ReplyDeleteMzee Michuzi, hiyo label unatoa, kama imeshonewa vizuri...kata taratibu usiharibu suti, ila label unatoa
ReplyDeleteSiku zote nilikuwa nakuheshimu sana. sikujua bado u mshamba kiasi hicho. Chini ya kilebo ndani ya mkono wa suti kuna vishina vya uzi unaoshikilia kilebo; wote tunakata kwa wembe na kinatoka huku nje bila mikwara yoyote. Rejesha heshima yako!!
ReplyDeleteBwana mambo ya kuacha lebel nje ni ushamba Mzee Michuzi. maana watu wanavaa designer stuff na wala saa nnyingine huwezijua maana lebel zinakuwa ndani, mpaka uchungulie nguo ya mtu ndani ndio utajua kama ni CHRISTIAN DIOR, YVES SAINT LAURENT, RALF LAUREN,CHANEL,TUXEDO,GUCCI, PRADA, nakadhalika. na watu huwa hawajivuni wanaotilia viwalo heavy kama hivi wala huwezijua. sasa mambo ya kuachia lebel nje nakubaliana na waungwana wote hapa ni USHAMBA, Mzee kwa hiyo unatakiwa utoe hiyo lebel, lakini nyingine huwa zimeshonewa kwahiyo chonde chonde Mzee Michuzi taratibu tumia kiwembe ili usije ukaiharibu suti yako kwa kukosea ukaikata MAANA NAIONA HIYO SUTI ULIYOIVAA NI YA UHAKIKA, YA NGUVU NA KAMA SIKOSEI NI DESIGNER. Niambie basi ni designer gani, mimi nadhani ni Tuxedo au nimekosea?
ReplyDeleteMchuzi, weka chini kamera yako! Wacha kuandika kwa komputa! Kimbia mara moja kwa fundi cherehani! Mwambie aiondoe hiyo label! La sivyo, nitakuja kuing'ofua!
ReplyDeleteCase closed.
Guys wenye hayo malebo, mnamkoga nani? It is an element of exhibitionism and unbecoming show-off! Simply put, fikira finyu!
weee kaka weeeee kelele za chura hazimzuwii tembo kunywa maji.... kwahiyo mwanangu weye tuu kama unataka lebo lako lionekane WHY NOT jirushe nalo mwanangu ila kama hutaki basi nenda kanyofoe!!! Hiyo ni idara binafsi na ni maamuzi binafsi!! Kuhusu ushamba ama sio hizo ni kelele za chura tuuu!! Kwa. nza kalebo kako kamekupendeza kweli kweli umemechi na viatu... huraaaaaaaaaaaaa. Ni mimi dadaako
ReplyDeleteHakuna ushamba .Amua mwenyewe.Mbona mnavaa nguo zina majina ya watu hamuoni ushamba
ReplyDeleteJamani Watanzania woe tulio nje ya nchi Bongo kuna raha ukiwa na kisu cha uhakika utaona hamna haja hata ya kuja ughaibuni au nchi yeyot ile.Nimekuja ughaibuni mwaka 1999 lakini nimerudi bongo mara 5 kwenda kula raha...na kufanya investments mapema kabla ya kuanza safari ndefu ya maamuzi ya kurudi kimoja.Bongo kama una hela utaenjoy..na hata ukiwa na elimu ukapata channel nzuri ya kazi utaenjoy sana.Ila cha muhimu zaidi ni kumuweka Mungu mbele.
ReplyDeleteMichuzi mimi ni yule yule ninayeongelea jinsi ambavyo unaweza ukaenjoy back home kama una kisu.Yes,hizo label toa kwa suti hatuvai suti na label zilizoko kwenye mikono.Usijali Michuzi kuuliza sio ujinga!!Na kutembea ndio kujifunza.Watanzania wenzangu msikae nje ya nchi mkaoza bila kuw ana paper za kuwafanya mrudi home na kuona hali halisi na kujua utafanya nini kuisaidia jamii yako na watanzania wote kwa ujumla.
ReplyDeleteKaka Michuzi mimi huwa sipendi kuongea vitu tu, LAKINI nilipomweleza Kipanya kuhusu label ya suti nilikuwa NAMAANISHA inabidi iondolowe! Na kama sikosei, mimi nilikuwa wa kwanza kuwaeleza kuhusu hiyo label naye Zemarcopolo akasema HAITOLEWI. Lakini ndugu Michuzi, LEBO huwa inatolewa jamani. Revd.
ReplyDeleteACHENI UTANI JAMANI,MICHUZI ANA SURA MBAYA!!
ReplyDeleteMichuzi sasa noan unaanza kuuza Sura!... sio mambo hayo...
ReplyDeletemtu mzima wewe
kama kuna mafundi washamba basi mafundi wa ughaibuni wamezidi, maana kila suti utaikuta ila label mkononi lakini kama utavaa suti aliyoshona fundi Massawe au fundi Mkude wala hutakuta kaweka label kwenye mikono
ReplyDeleteMichuzi naona unazuga tu.Tuambie umevaa lebo gani au designer gani
ReplyDeleteMichuzi, unaonekana dingi siku hizi! Hapo siyo Boston State House kweli?
ReplyDeleteKuacha label nje ni ushamba tena sana, sasa li-label linaning'inia la nini? kama suti yako ni nzuri maaterial itaongea yenyewe.
ReplyDeleteKIMBIA HARAKA SANA KWA FUNDI CHERAHANI AKUTOLEEE - TENA NISIKUONE KABISA,
Usijefanya hadhi yako mahiri idondoke
Muhidini, Lakini label nyingine zinapendeza mpaka inabid ufikirie mara mbili kabla kubandua.
ReplyDeleteWazungu wanatuletea nguo halafu na mitihani ya jinsi ya kuvaa.-Regards Babu