nimebahatika kutembelewa na mdau toka sitokihomu, uswidi, mjema ambaye sasa kesharudi ughaibuni. asante kaka kwa kunitembelea, nisalimie jamaa wa klabu cha chelsea wote, ukianza na fmtimkubwa...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kaka michuzi tangu nivumbue hii blog yako unanifurahisha sana . juu nikiwa ba mdogo ulikuwa moja ya watu walio ni inspire nilikiwa nikipiga picha nzuri au nikiona picha nzuri nasema "kama michuzi vile" cha ajabu nilidhani we ni mzee juu most of time ulikuwa nyuma ya camera thanx kwa teknologia imeleta fantasi yangu ya utoto kwenye reality . keep it up man nadhani kuna mtu keshawahi kusema maneno kama haya ungekuwa ukerewe with no doubt ungekuwa celebrity. sasa wewe yanga au simba? juu kuna picha ninayo ya utoto ulimpiga sure boy enzi hizo ukani convince wewe yanga. naomba jibu pls.

    ReplyDelete
  2. ni saa mbili hapa ukerewe nimeamkia michuzi its sad but hii ni kuhakikisha kuwa mzee unagusa wengi we ni kioo cha jamii keep it up man.

    ReplyDelete
  3. Huyo Mdau ni wa Tampere Finland

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...