bongo inasifika kwa msosi safi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Aibu na hiyo milebo.Toa ww acha ushamba!

    ReplyDelete
  2. ...Zaidi ya viazi bila finyango tumeona cheo chake cha usajenti(lebo)!

    ReplyDelete
  3. misupu naona milebo kwenye hiyo picha ndiyo imetawala,sioni misosi!

    ReplyDelete
  4. jamani nia ya michuzi ni kuleta tena mjadala uliolala wa lebo za suti na sio mlo kama alivyodhamiria, bisha michuzi

    ReplyDelete
  5. Umesema kweli Michuzi. Maakuli bongo hakuna mfano. Nitaanza kula ugali na hizi picha zako za maakuli!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...