Home
Unlabelled
uchovu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Leboooz!!! Michuzi kuwa mkweli kaka.Naona umeamua tu kuileta hii mada ya Lebooz upya.Niliisha sema huu ni ushamba kuvaa hiyo misuti ya wall matt na hiyo milebo.Mwambie mshikaji wako Ulaya bado hakujamchangamsha tu.Ni hayo kwa sasa.
ReplyDeleteVirsice ndio lebo gani tena? Hii ni kali kweli kweli. Ushamba huu sasa umezidi. Suti za kutungua za Mikemia ya kichina basi jamaa kaulamba. hahahhahahahahahha kuku mgeni hakosi ....................
ReplyDeleteVirsice ndio lebo gani tena? Hii ni kali kweli kweli. Ushamba huu sasa umezidi. Suti za kutungua za Mikemia ya kichina basi jamaa kaulamba. hahahhahahahahahha kuku mgeni hakosi ....................
ReplyDeletemi naona milebo tu imetawala kwenye hiyo picha.
ReplyDeleteKinachochosha kwenye safari ni muda unaotumika kwenye safari. Kwa hiyo iwe ni ndege, au basi, utachoka tu kama utatumia muda mrefu. Kwa mfano, safari ya kutoka JFK mpaka Tokyo, Narita ni masaa 13, na Boeing 747 inageuza siku hiyo hiyo kurudi JFK.
ReplyDeleteHuyu ndiye mpiga picha za tv wa TVT aliyekuwemo kwenye msafara wa JK hapa Ukerewe, kawaida kukutwa na hali kama hii, kukimbia huku na kule ukiwa umebeba camera nzito ukiongeza na urefu wa safari lazima uwe hoi. Yote maisha mshikaji, endelea kuchapa kazi ukiamka !
ReplyDeleteLebooo Lebooo Leboo hiyo jamani!mbona kuna watu hawataki kuelimika kuhusu lebo?tubadilike wa tz.tukiendele ivyo tutakuwa hatufiki mbali nauma sana kama tuna kuwa hatuelewi vitu ambavyo vipo waziiiii kabisa,aaaaa.mjm
ReplyDeleteKwanza usitudanganye eti uchovu na hayo malebo yako, hapo ndege kwanza hata haijaruka angalia taa za airport kwenye dirisha hapo, lakini pia kweli maana huko ni kule kwa kajamba nani (economy class) ni soo labda isiwe BA maana hata leggy room ni hakuna.
ReplyDelete