mdau nyupi huko sitokihomu ameomba niwaulize mwawakumbuka hawa?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Una maana Meya Nyupi?:-) Duh, enzi hizo tunajifunza kusoma, gazeti unakimbilia nyuma usome Chupaki na Pole na Bushiri wanasema nini! Hivi sasa ndio natambua kuwa hata msanii wake simjui jina!!!

    ReplyDelete
  2. Kaka michuzi umenikumbusha mbali sana nakumbuka nilikuwa primary school enzi hizo katuni hii ilikuwa inatesa magazetini.

    ReplyDelete
  3. haya nadhani ni mambo ya Chakubanga na Bushiri au? Hii kitu inanikumbusha hata kabla ya kuanza darasa la kwanza miaka ya 80 mwanzoni.

    ReplyDelete
  4. Michuzi huyu C GREGORY mchoraji wa hizo katuni yupo wapi? tunaomba picha yake, na gazeti la Uhuru ambalo ndilo lilikuwa linachapisha vikatuni hivyo vya Chakubanga na Polo na Mama Chupaki bado linachapisha?

    ReplyDelete
  5. Chakubanga?

    ReplyDelete
  6. MICHUZI HIZI PICHA UNATUKUMBUSHA MABALI SANA NDUGU YANGU NAOMBA TUWEKEE NYINGINE NA MAMA CHUPAKI

    ReplyDelete
  7. Michuzi umenikumbusha mbali sana na najiona mzee sana nilijifunzia kusoma kwenya hii chakubanga, polo na mama ......na gazeti la Sani

    ReplyDelete
  8. umenikumbusha my late mom,mtu yoyote mjinga alikuwa anamwita polo, and it was so funny.

    ReplyDelete
  9. Kuna msomaji mmoja ameulizia mchoraji wa katuni za Polo yuko wapi.
    Huyu msanii (Gregory) alishaaga dunia muda mrefu uliopita!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...