Nimetonywa na mdau george matovu kwamba piga ua mtimkubwa huwa hakosi kuhudhuria hili tamasha maarufu la finland liitwalo FEST AFRICA linalofanyika kila mwaka kwenye mji mzuri wa tampere na waandaaji ni wabongo yeye akiwa mmojapo. Anasema sasa ni mwaka wa saba na kwamba kuanzia mwaka huu litafanyika mara mbili yaani wakati wa baridi ( winter) na wakati wa kiangazi (summer). Mlio huko kazi kwenu…

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...