kuna wadau wameomba kuona eneo la kilima 'nanihii' kulivyo sasa baada ya vibanda kuondoka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Nimekubali, jamaa kweli wanafanya kazi, na jiji linapendeza. Benges umehamia wapi sasa? Pole mzee!

    ReplyDelete
  2. Hii picha safi sana Michuzi! Nimepita hapo hata jana tu, lakini sikuwahi kufikiri engo hiyo ya picha.
    Mi nimeanza kuinua majembe, narudi shamba.Jana hukuwa hewani muda mwingi. Likizo Njema!

    ReplyDelete
  3. eh HAPA UKIPITA NA GARI FASTER FASTER URODA!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  4. MIchuzi na wana blogu naomba mnieleweshe kawani sijaelewa hii picha imepigwa kutokea upande gani wa kilima nyege, ukiangalia mbele kwa makni unaona kama barabara inakuwa T junction fulani na mimi ninavyopajua pale ile barabara inaendelea hadi kwenye mataa ya kuingia salender bridge na upande mwngine inaelekea kinondoni. Sasa hii picha imepigwa kutoka upande wa k'ndoni au mjini?
    Nimpepita hapo mara nyingi sana enzi zangu lakini nashangaa eti pana nichanganya sasa hivi.

    ReplyDelete
  5. Hiyo barabara ya inakwenda masaki ukikata kulia na ukikata kushoto unakwenda Oysterbay beach

    ReplyDelete
  6. Hicho kilima kwa kweli wee acha tu.
    Nakumbuka enzi hizo Mzee alikuwa anatupandisha wenye Combi lake akifika sehemu hiyo watoto wote tunafurahia halafu tunanyamaza kimya maana hatuwezi kumwambia arudi nyuma ili tuchekelee. Mwisho akagundua kwamba tunaogopa kumwambia,so akaamua badala ya kwenda naye yeye akamwachia dereva awe anatupeleka beach. Matokeo yake hatwendi beach tunamsumbua kaka wa watu arudie pale pale ili tufurahie.
    Aaagh,umetukumbusha mbali sana kwa hakika.

    ReplyDelete
  7. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  8. We anon wa hapo juu Feb 24,2007,2:13:00 acha kuchemka hivo,hapo ni Masaki,hata kibao kinaonekana ukisoma kimeandikwa Masaki????hujaona hapo????sio kinondoni hio bwana,hapo jamaa amepiga picha hio akiwa karibu na Resident ya balozi wa Rwanda, karibu na Jack's Bar pale Oysterbay,upo kijana,da kuna mbuzi watamu sana wakuchoma pale,ninawamiss kweli,naskia Jack's haijatolewa na kweli michuzi????? jina la barabara ni haile selasi inakutana na barabara inayotekea Slipway,kuelekea Coco beach au jina la barabara ni chole road

    ReplyDelete
  9. Kulia kwa hiyo gari kubwa kama unatazamana nayo uso kwa uso kuna Dar International school. Palikuwa na vurumai nguo kuchanika wakati wa uhai wa vibanda hivyo.

    ReplyDelete
  10. Hii ni ma home enzi hizo....wow wameclean the town well...GOOD JOB!!

    ReplyDelete
  11. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  12. Ndio hiyo pucha imepigwa kwenye junction ya Haileselasi Road(helufi mmmh) na hapo camera ilipo kuna T junction ya msasani road. Hapo mbele hiyo T junction ni Turn kushoto kwenda Upande wa huko wa Masaki na turn kulia waenda Oysterbay beach. Pia International School ipo hapo kwenye T (+) kwenye plus hiyo top left


    MICHUZI PLEASE PLEASE POST PICHA ZA MA SHOPPING MALL, RESTAURANTS ETC ANYTHING KWA NJE CANT WAIT

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...