hoteli ambayo zamani iliitwa sheraton

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Bongo yote ingekuwa green hivi, aaaaaaagh alhamdulliallah. Lakini nenda Ukonga, mazizi, hakuna hata mtaa, manzese, Mburahati,Kigogo, Mtoni kwa Aziz Ali, Mivinjeni, Ubungo kibangu. la la la la la la la , we acha tu

    Haya asante Michuzi kwa kutuletea Sheraton ya zamani then Royal Palm na sasa ni Moving PINK

    Wawekezaji wanajua kweli kucheza na akili zetu kwa visingizio vya uwekezaji

    Naomba kutoa hoja

    ReplyDelete
  2. Hivi hii hotel itabadirshwa majina hadi lini? Ukibahatika ukapata michuzi ndugu Michuzi basi wekeza hapo na itaitwa MICHUZI Hotel. tehe tehe tehe. Tanzania inaliwa na wajanja na wana meno makali kweli eh! Yesu na Maria

    ReplyDelete
  3. Si ninyi Batanzania iko ku fasi ya kuwapa hao miaka tatu bila bushuru. Mbali kufika mika tatu, mtu nabadili. Mwingine anayingia. Mbali kufika karibu ku miaka tatu, anamnunulia mwingine.

    Mtayendeleya na kufasi hiki kukaribia hata kuja kwa Yesu!

    Bujanja hamuna kabisa, bandeko ba bolingo! Amuka pana kutolewa maziwa sawa!

    ReplyDelete
  4. Hiyo itabadilishwa majina kwa lengo la kukwepa kodi mpaka basi!

    ReplyDelete
  5. we hapo juu mzaire feki,mzaire wa kigoma hujui hata ulichoandika; kitoko ya moto.

    ReplyDelete
  6. kazi kwelikweli!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...