Ndugu zangu wapenzi!

Kwa niaba ya wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki, nimetumwa kutoa shukurani za dhati kwa upendo, ushirikiano mliouonyesha katika mazishi ya mtoto wetu Tatum Rehema Hiza tuliemzika jana Februari 15, 2007 hapa Amherst, Massachusetts.

Ni vigumu kumshukuru mtu mmoja mmoja, hivyo twawatafadhalisha mpokee shukran hizi kupitia pepe hii. Mungu atawalipa yote yalio mema Asante!

Isaac A. Kibodya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...