Home
Unlabelled
shule
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo ni Zanaki Secondary School. Sikusoma hapo lakini nilikuwa na Rafiki anasoma hapo.
ReplyDeletemichuzi wacha zako pita pale azania kidogo babu..hizo shule za kichovu...usisahau pita kwenye mihogo na kibandani...azania uliwasambalatisha tambaza,,azajangwa milele
ReplyDeleteAzania hapo, watani wetu Tambaza
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeletewe azania watoto wa mama serikali yenyewe inajua, nadhani serikali iliona ni bora kubadilisha tamabaza ktk mfumo wa sasa ili kuidhibiti hali. I wish father kalumuna asinge staafu alikuwa anatutetea sana.
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteNo Doubt!..Hapo ni Shaaban Robert Secondary School.Michuzi umenikumbusha miaka hiyooo nilipokuwa ninasoma hapo!
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteNo doubt!... hapo ni Shaaban Robert Sec School, umenikumbusha enzi hizo nilipokuwa nasoma hapo
ReplyDeletejamani shule za serikali hazina air conditions madarasani.
ReplyDeleteMichuzi hiyo ni SRSS, enzi zetu hiyo shule ilikua ya wajanja sio kama sasa hivi :-)
ReplyDeleteHapo ni Zanaki Girls' Secondary School, no doubt nyie mnaosema azania mara shaabani robert hamna uhakika na mnachokinena.
ReplyDeleteNani anakazania hapo ni Zanaki Sec School. Mie niliyesoma hapo hata sikuelewi. Au unafikiria jengo lilivyo wide ni kama lile la Zanaki Primary ambayo ipo kwenye compound moja na Zanaki Sec? Mie nilipoona tu Nilifikiria Shabaan Robert... By the way MICHUZI atatoa jibu later (I hope so)
ReplyDeleteJamaani, hapo ni Shaaban Robert Secondary School, sio Zanaki wala Azania. Sijasoma hapo ila najua siku hiyo picha ilipochukuliwa. Hebu Michuzi waeleze kama hukuchukua hiyo picha tarehe 18 August, 2006. Halafu we mwenyewe unajiuliza nimejuaje. hehehe....
ReplyDeletemimi nimesoma zanaki miaka 3 sijawahi kuona jengo kama hilo nyie mnaosema hapo ni zanaki sijui labda mmesoma mikoani, zanaki ni jengo moja tu ukiondoa labs, domestic building na yaliyokuwa mabweni labda bwana michuzi tusaisie tehe--tehe--tehe
ReplyDeleteJamani jamani jamani.. Shaaban Robert Secondary School hapo.. Aliyepiga picha nyuma yake kuna jengo lile 'jipya' ambalo linatumika kama hall/theatre sshv (halikuwepo enzi zangu, tulikuwa tuna uwanja wa mpira)
ReplyDeleteHapo ni Shebby High Skool.Nakumbuka Enzi hizoooooooooooooooooo!TEna hapo inapoonekana A/c ni AVC room
ReplyDeleteHiyo ni SRSS, enzi hizo kulikuwa na macheck bob na vimwana au macheck sister wakukata na shoka, shule ilikuwa inapendeza sana na mabingwa wa kuruka majoka pia walikuwapo hapo SRSS. Duuh, miaka inakimbia kweli kweli.
ReplyDeleteShabaan Robert U suckers...
ReplyDeleteShebby Robby
ReplyDeletewe ni mshamba sana , unatengenezewa codes na wanaume halafu unaandika eti copy right 2002006 na ISA MICHUDHI. Koma kabisa maana hujui walioterngeneza hizo codes
ReplyDelete