kundi la ba cissoko toka conakry, guinea, likitumbuiza jana usiku ukumbi wa jubilei ya almasi kwenye shoo ya kusherehekea wiki ya francophone iliyoanza machi 15 kwa shughuli mbalimbali chini ya kituo cha utamaduni cha ufaransa dar. hizo wanazopiga ni zana za muziki maarufu za afrika magharibi ziitwao kora ambapo wamatumbi twaziita zeze

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. watu wanasherehekea kutawaliwa na kuuliwa kwa lugha zao na kupewa ya kigeni!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...