huku hakuna mgao wala nini. malaiti yanawaka masaa ishirini na ushee. kuna mdau kaomba kujua wanatumia nishati gani wenzetu. namwomba atembelee google na kutafuta dubai's energy source. wadau wengine si vibaya kupiga chebo uchambuzi wa mchakato wa kuwa na federesheni ya ist afrika mashariki kwa kubfya hapo chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Issah rudi home bwana tun- miss nyuzi za home acha na hao waruguru warefu wa dumila -dubai

    ReplyDelete
  2. Bwana michuzi tunashukuru sana kwa msaada wa website yako, lakini pia tunasikitika kwani lengo nikupata habari ,maoni n'k . kwa kipindi cha mwishoni mwa wiki umekuwa unatuwekea picha za kujisifu tuuuuu!! toka umeenda huko dubai na hao marafiki zako watangazaji wa redio. tunaomba tuende na wakati, kwani kama ni hivyo kuna watu wengi tu, na wanafanya makubwa kushinda hayo na wapo kimya tuuu. tunakuomba hii tabia iishe. au pengine lengo la gazeti ni kujisifu? nani yuko wapi na anafanya nini? kwa maoni yangu haya mambo yanaboa,si vibaya yakiwepo lakini kwa sasa yamezidii.

    ReplyDelete
  3. Kuna mbongo aliandika hivi.
    "Tuelimishane Wadau,
    Nikitaka kununua Gari Dubai utaratibu upoje? Naomba Msaada. manake niliuliza watu wakawa wananiletea za kuleta wakitaka niwape 'dili'. nikashtuka kimtindo"


    Jibu nenda hii site it is so easy and very good customer service. Just like abc ila sio dubai kwa hiyo nadhani tofauti yake itakua shipping cost. Jaribu kucompare lakini from Japan you will have piece of mind and you will receive waht you real ordered. I don't have any experience about this country.

    http://www.batfa.com/usedvehicles-toyota-stock.html

    ReplyDelete
  4. Mji wetu Hauwezi kutanuliwa mabarabara kama hayo sababu umejengwa Kihindi sana Michuzi Mataa kama hayo ni kwenye mabarabara makubwa kama hayo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...