mlinzi abdalla cowboy wa mseto ya morogoro akiwania mpira na zainadul dossa wa cosmopolitan huku awadhi akingoja nyuma yao. hivi sasa dossa ni bosi wa kampuni binafsi ya ulinzi ya ultimate security wakati cowboy sina uhakika yuko wapi kwa sasa ila alikuwa anafanyakazi ya ufundi shirika la reli nilipomuona mara ya mwisho miaka kadhaa ilopita

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. du huyu bwana ndo dossa tunakunywanaye kwenye mu arobaini wa leaders?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...