ujenzi utapokamilika kituo hiki kitakuwa mojawapo ya vituo vya kileo vya polisi nchini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Issa, "vituo vya ,kileo vya polisi nchini"

    Kileo ni pombe, kwa hiyo hivi vituo vya polisi vinauza Pombe siku hizi?

    ReplyDelete
  2. Hiyo ni tungo tata; lakini, kinacholeta maana zaidi ni muandishi alikuwa na maana gani? Na ninadhani wasomaji wengi wamemuelewa.

    ReplyDelete
  3. Kileo ina maana ya leo au ya siku hizi au ya kisasa au kituo kipya cha kisasa cha polisi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...