mwanamuziki miriam chemoss ameshaibua video yake ya kwanza. bofya hapa kuisikiliza na kuona. ningefurahi ubora wa video za bongo zingekuwa hivyo zote; tungefika mbali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. duh huyo mtoto si mchezo yuko so fine ile mbaya lakini hiyo video kwenye you tube nafikiri there are some problems

    ReplyDelete
  2. mzee michuzi nini tofauti?kwa hio video?

    ReplyDelete
  3. Inaelekea wewe misoup unapenda chupi sana. Yaani ubora wa hiyo vidoe ni chupi????!!!!!! Be serious

    ReplyDelete
  4. mmh video imetulio hiyo,we unaesema kwenye u tube ina problems,hebu check tena

    ReplyDelete
  5. TOFAUTI NI huyu demu katoka na vichupi vitupu na video zingine hawajawahi kufanya hii kitu.

    ReplyDelete
  6. huyu dada si ni model pia naomba sana michuzi mwambie aachane na mziki angalie zaidi soko la modelling si muimbaji huyu period!!

    ReplyDelete
  7. nothing new guyz!! hakuna jipya yaani naifagilia hata ile ya jackline ntuyabaliwe kuliko hii..du kweli fani imevamiwa na mimi basi nitaingia studio....

    ReplyDelete
  8. alichoimba cha maana sikioni.sema tu labda umependa hizo swimmingcost michuzi.mbona RC anaimba vizuri sana kuliko huyo?kama umempenda ni vizuri umwambie yeye mwenyewe atakuelewa!usitufanye watoto wadogo! RC kiboko yake!kama ni uzuri sura anayo shep kauza Aloooooo!

    ReplyDelete
  9. michuzi mimi nataka kusema kama wenzangu.kweli hapo bongo kuna video unazipatapata tena za mda ni babu kubwa kuliko hii.mimi sijaona lolote kwa video hiyo.vya kusifia sifia.

    ReplyDelete
  10. Sir Issa..huyu dada anafaa, katika mambo ya chungu na nzima au vipi Mzee.

    ReplyDelete
  11. inabidi akaimbe kwaya kanisani

    ReplyDelete
  12. Anko michuzi hii video wamejitaidi katika color combination na labda hayo mazingira ni mazuri mazuri! lakini kingine mie sijaona hata wabongo wanafanya vitu kama hivyo! ebooo! kwanza hata hiyo bikini wanayosifia anon wa hapo juu aina kitu chochote kama ile ya NYANGEMA na jenifer...

    ReplyDelete
  13. DADA POLE SANA HAYO NDIO MATOKEO YA KUMPA PICHA MICHUZI...UGUA POLE.

    ReplyDelete
  14. Binadamu tunatofautiana kivionjo na maono. Michuzi ana vionjo na maono yake ambayo kwa hakika mtu mwingine huenda akatofautiana naye, mi nikiwa mmoja wao. Binafsi naungana na wengine waliosema kuwa katika video hiyo hakuna jipya. Labda hivyo vichupi na sanasana Kiingereza kilichochanganywa humo. Nakumbuka siku moja Michuzi aliwahi sema humu bloguni kuwa kwake Kimombo tabu kidogo, basi huenda kila penye Kimombo kwake ni ufundi. Ukweli ni kuwa video hiyo si tu kuwa haina jipya bali pia haivutii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...