Home
Unlabelled
toto
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
naomba kuuliza minnesota hapa inatumikaje newala kwa new york, Ukerewe kwa UK sawa ila MN hapa mmeniacha nisaidieni mwenzenu....
ReplyDeleteaaahh chama la long time hilo, toto african, enzi wanapiga zoezi lake secondary.
ReplyDeletethanks michuzi unanikumbusha maisha ya mza, enzi za salma cone pembeni hapo.
watoto wa kuleana wapo?
tuwekee basi shule ya msingi NYANZA basi michuziii
Kaka Michu nakumbuka enzi hizo Mkoa wa Mwanza unatamba sana katika soka, watu walikuwa tayari kukatwa shilimgi kwa kila kilo ya pamba kuichangia timu zao, mamjina kama Mao Mkamy, Geogre Masatuy Magere, Zig Zag John Makerere, Fumo Felician, na wengineo kaka walitamba sana wengi walitoka huko wakaenda kuuliwa vipaji na Simba na Yanga, Mwanza bado mnayo nafasi
ReplyDelete