wakati dayamondi kunwaka moto usiku, katika klabu ya upanga kulikuwa na mchuano mkali wa snuka kugombea kombe la pooja snooker challenge cup ambao ulichezwa kwa mtindo a ligi na kushirikisha wachezaji 32. mshindi aliiibua dhiresh kaba (watatu toka kulia) na wa pili alikuwa ally gulamali (anayemfuati). wengine ni mashabiki wao. dhiresh ni mdau mkubwa wa globu hii. hongera sana braza!!



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2007

    Doh! comments zangu kuhusu hao jamaa hapo juu umezibania!!!

    Naona ni kweli wapinzani wa jadi wa CUF (au CUFU wenyewe) wanakupiga mkwara!

    Haya Mr Michu, hii ndio Africa.

    Week-end njema

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 27, 2007

    wana makaratasi hao kweli???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...