tv ya channel 10 ni miongoni mwa vyombo kadhaa vya habari vilivyokuwepo kurekodi tukio hili

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Ha ha ha ha ha! Michuzi kaka yangu una mambo makubwa, madogo yana nafuu. Lakini angalia yasijekushinda tu.Lol

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2007

    Channel "O"

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 11, 2007

    Mashallah......

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 11, 2007

    Hebu sogeza huo ushungi kidogo basi.....ah!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 11, 2007

    Ingekuwa nguo inaendana na tabia wallah nigeoa mtu mimi! we acha tu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 11, 2007

    MASH ALLAH MTOTO, MASH ALLAH

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 11, 2007

    NILISEMA HAYA WIKI ILIYOPITA. UTAPATAJE UHONDO WA MECHI ZA MPIRA AU MATUKIO YOYOTE YALE YATOKE VIZURI KWENYE LUNINGA KAMA MAMBO YENYEWE NDIYO HAYA!
    MTOTO WA MJOMBA ANAJUA KUCHUKUA VIDEO KWENYE CAMCORDER YAKE, AHAAAA HUYO ANAFAAA KABISA KUFANYA KAZI KWENYE TV...MAMBO HAYO.
    KILA KITU JAMA KINA HITAJI ELIMU NA UJUZI WA KAZI UNAYOTAKA KUFANYA SIYO KUVAMIA TUUU.
    SASA KAMA LIKITOKEA JAMBO LOLOTE LA HATARI HAPO, ATAWEZA KUREKODI HUKU AKIWA NA BUIBUI AU HIJAB YAKE. TOBAAAA MIEEEE

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 11, 2007

    Channel O huwa inaonyesha mambo machafu ambayo ukiwa na watoto wastaarabu huwezi ruhusu waangalie.

    Kumbe wanaoyaandaa huwa wamejificha kwenye hijabu!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 11, 2007

    dah mtoto kapendeza wallahi

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 11, 2007

    We anon wa 4.45 kwani tatizo ni ushungi au ufanisi wa kazi. Ushaanza kuleta ubaguzi wa kimagharibi. Hijabu haitamzuia huyu kufanya kile watu wengine wanafanya. Kwani hao Channel 10 hawakuona watu wengine ambao hawavai hijabu.Nadhani walimuona ana-qualify ndio maana wakamuajiri. Ondoa fikra za kibaguzi la sivyo hatutofika sehemu. Mbona EMIRATES watu ni hijabu tu lkn hatuwakuti kimaendeleo?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 12, 2007

    GAGAGIKOKO ni Quality siyo Qualify plse,kuwa na wakati nzuri anyway!!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 12, 2007

    huyo ndiyo mwenyewe aliyepondwa na huyo anony hapo juu. Gagagigicoco kujibadilisha jina tu lakini ukweli wa mambo ndiyo mwenyewe hasa aliyepigwa jembe la uso kwa kuambiwa ukweli wa mambo.
    Usilalamike sana kwani hata JK amemkurupusha kijana wake akachukue fomu za NEC wakati hata maana NEC na katiba yake haijui.
    We lamba kibarua chako lakini ukweli wa mambo watu wataelezwa hadi kielewekeeeeeee. Undugunaizesheni lazima ufe siku hizi. Na msiombe niwe rais, wenye ndugu zao wote wasio na qualification kwenye wizara, idara na hata kwenye taasisi binafsi, watkula panga. Nichagueni mwaka 2010.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 13, 2007

    Hijabu sasa hivi zinavaliwa si na waislamu tu bali na watu wengine wanaoumwa wenye madonda mwilini na Kichwani yatokanayo na maradhi ya Ukimwi.

    Waoaji mkae chonjo!! Sasa hivi si kila king`aacho dhahabu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...