Home
Unlabelled
hesabu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ndo yale yale ya moja jumlisha moja ni kumi na moja! wazazi kazi tunayo.tena ukute huyu Peter kila term wazazi wake wanamlipia mamilioni school fees kisa eti inteneshno skuli(ongeza na neno inglish midiam). ukizingatia hao kina Peter ndo taifa la kesho,mh! naogopa.
ReplyDeleteMambo ya expantion hayo...kweli peter uko funny!
ReplyDeleteMichuzi, Hiyo njia aliyotumia ku-expand hiyo hesabu nimeipenda sana. Unajua kila kitu kina formula zake, kwa watu kama sisi ambao hesabu ni kama lugha ya kichina basi unalewa sawa sawa ukiulizwa expand. Haaaa haaaa
ReplyDeleteFC
Haha Haha...hiyo njia nimeipenda ya ku expand na tena kaandika ''e.t.c.'' maana yake inazidi ku expand...haha...hapo ningekuwa mwalimu ningezimia kwa kucheka
ReplyDeletekudadadeki bonge la hasabati mwanawane, , , , , , ,
ReplyDeleteIla kwa peter hiyo hesabu ipo juu sana. Peter katumia akili za hali ya juu kuliko mnavyofikiria.
ReplyDeleteHuyo mwalimu ndio kachemsha hakumalizia swali which means peter katunga lake.
hapo ilitakiwa kuwa either
1. Expand using Taylor's series or
2. Expand Using Maclaurian series.
Sasa peter yeye katumia Peter series halafu jamaa anampa mchanjo hiyo ni 100%
Halafu mwanaume mbona kazi ipo???
ReplyDeletea(n) + a(n-1)*b + a(n-2)*b(3) + ... + a(2)*b(n-2) +a*b(n-1)+ b(n)
ReplyDeletewhere, (n). (n-1) ...etc. are the degree order; power or exponent.
Naona anon juu hapo katumia ''pascal's triangle''. safi sana
ReplyDeletemichuzi sasa leta na Hydrocarbons na benzene na Kohroch's law of ionic mobility,
Ila hata na Portfolio management pamoja na intertional finance nazo ni muhimu ili tuwe na uwanja wa wataalam au wataaluma
There are no stupid questions, just stupid people
ReplyDelete