Habari za asubuhi kaka Michuzi,
Naomba kutumia fursa hii kuwataarifu wadau kwamba brother Willie Maluwe ambaye alikuwa DJ wa Sea View disko-tek miaka ya mwisho wa sabini, mpenzi mkubwa wa muziki hasa wa marehemu Ndala Kasheba na Mzee King Kikii, pia ni baba wa Michael, Simona na Simon Maluwe amefariki dunia jana usiku hospitali ya amana ilala.
Msiba uko nyumbani kwake Ilala NHC Flats, nyuma ya hospitali ya Amana.Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya kaka yetu William Maluwe.regards,

Inno Mosha
DSM - TZ, EA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 12, 2007

    Nakumbuka alizaa mtoto na mdogo wake Stella Gwao. Mwenyezi mungu amlaze mahala pema peopni,amina

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2007

    He was a man of his own, a very unique person. RIP
    Viv

    ReplyDelete
  3. mungu akulaze mahala pema peponi tulikua tukisali wote msimbazi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...