wadau wa idhaa ya kiswahili ya bbc toka shoto hassan mhelela wa kwanza kushoto; said mayanja (mwanafunzi wa udaktari); abdallah majura na salim jumbe (mwanafunzi wa maswala ya utalii); wakishuhudia maandalizi ya ufunguzi wa mashindano ya mataifa ya afrika; algiers nchini algeria: tanzania inawakilishwa na wachezaji 21.jamaa watakuwa wakituletea ndogo ndogo kutoka huko. stori ya timu ya bongo bofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2007

    Mbona kiwanja kitupu kabisa?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 12, 2007

    Anony hapo umeambiwa wako kwenye maandalizi na sio mashindano. can't you read?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...