wadau mwalimu mazara katutumia hii na ujumbe ufuatao juu ya siku ya msiba wa mpendwa wetu

Dear Parents, family members and friends,
I wish I could have more pictures to share on that sad day. In case I get more I will keep you posted.


Patrobah mazara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2007

    pole sana mwalimu, mimi nakukumbuka sana maana ulishawahi kunirarua bakora pale jitegemee secondari kwa fabian massawe,duh hii ni jinsi mbaya sana yakukumbuka lakini ndo hivyo tena.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 20, 2007

    Huyo Mazala amekufa mwenyewe au ni nini? Mbona habari haina kichwa wala miguu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 20, 2007

    Michuzi na wee ....kama hufanyi uandishi wa habari bwana. Huyo mwalimu mazara ni nani na ninani alifariki. Sometimes unaweka vitu na kuweka maelezo nusunusu na kuassume kuwa wote tunamjua huyo mtu uliyemweka kwenye picha.

    Habari ni kama kuwafundisha watotot wadogo unaasume hawajui chochote.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 20, 2007

    Nilisikitishwa na kifo cha huyo mtoto aliumwa nini mda wote huu?Tnaomba picha yake.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 20, 2007

    Dah,mwalim Mazara namkumbuka sana miaka ya 89-92 Mwembeni Primary Musoma. Kakucharaza viboko sana kiumbe huyu, kumbe bado anaishi!
    Katu-treat kijeshijeshi mno na kusababisha baadhi yetu kuchukia na wengine kuacha shule, Any way its time to move on, lets forget the past!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 20, 2007

    MICHUZI ALITUHABARISHA KAMA WEEK MBILI ZILIZOPITA KWAMBA HUYO MAZARA AMEFIWA NA MTOTO WAKE NADHANI ALIKUWA NA MIAKA KAMA 10 HIVI UKO MAREKANI.NILIVYOELEWA MIMI HIYO NISIKU YA MSIBA

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 20, 2007

    Mtoni kweli si mchezo, Mazara kanawili!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 20, 2007

    poleni sana!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 20, 2007

    MIchuzi , je fani yako umesomea au ni kwamba chuo ulichosomea ni hakina hadhi? ,hebu jaribu kurekebisha makosa yako kama kweli ni msomi ,sikiliza malalamiko ya watu kuhusu uhabarishi wako, kwakweli inaonyesha ni hauko makini au ni kwamba hukusoma. tafadhali rekebisha tatizo hilo.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 20, 2007

    Michuzi anaendesha hii blog yake kama soap opera. Yaani ukimisss siku moja basi tena.

    Wewe watu wanalalamika kila siku mbona habari zako nusu nusu?

    Unajua ni heri uweke habari mbili kwa siku ziwe na maelezo hakika kuliko kuweka habari 10 ziwe na maelezo yasiyo kamilika.

    I do appreciate vyote unavyofanya lakini haya ni maoni yangu.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 21, 2007

    Ok.
    Aliyefiwa na mwanawe ni Kennedy Mazara(safu ya mbele katikati) ambaye ni kaka yake na Patrobah. Aliyefariki ni binti yao Shamsa.

    Mola alitoa na mola alitwaa jina lake litukuzwe.

    Nikiwa nimekosea nisahihishwe!

    Mjomba Zoolo lee

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 21, 2007

    mwalimu
    siku tukikutana lazima nikwambie kwamba uliokosea sana kutuchapa fimbo kama wanyama maana hukutuadabisha bali ulituwekea woga na kutufanya tusijiamini,in short bakora zako did not serve the intended purpose.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...