kinamama wakimpongeza mzaa chema, mama patrick

mzee didas akimpongeza binti yake

mdau patrick na mai waifu wake mary wakilishana keki kiana baada ya kufunga pingu za maisha jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hongereni maharusi mmependeza sana!

    ReplyDelete
  2. Aah huyu ni Patrick wa ME 2003? Hongera kijana umewakilisha vyema, huyo anon wa juu ana wivu binafsi. Hebu tupe picha ya ma waifu kwa mbele ili sisi tuliokosa 'hagi' tuambulie angalau sura! Umewakilisha vijana wa ME naona wengine watafuata, naona Moze yupo tu anazunguka

    ReplyDelete
  3. Huyo annony wa 7:21.00am wivu ndiyo unaomsumbua, aliyepata kapata tu we kama umekosa au auliahidiwa ukakosa Polea sa ndugu yangu wivu siyo dawa. Harusi ilipendeza sanasana na harusi walipendeza sana kupita kiasi. Hongereni sana jamani mwenyezi Mungu awatangulie katka maisha yenu ya kila sikuu.

    ReplyDelete
  4. ISSA WAPE HONGERA ZAO HAO WANANDOA. BASI MPENZI WANGU AKIONA EKSHENI KAMA HIZI, YEYE ANACHOTA TUFUNGE NDOA HARAKAHARAKA, ANANISUMBUA HUYO DU, WE ACHA TU TUTAFUNGA NDOA TU MPENZI NGOJA TUPANGE MAMBO, HAYA MAMBO YA MUNGU INABIDI TUMTEGEMEE MUUMBA KATIKA MIPANGO YETU.

    ReplyDelete
  5. hongereni sana wapendwa, harusi yenu ilikuwa bomba sana! yaani ilipendeza sana! nawatakia maisha mema yenye furaha na upendo mwingi!
    Amen.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...