wamachinga wa kinshasa wakiwa kazini. wadau samahani hivi noti kwa kiinglishi ni ni

nini vile....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. Nimecheka!

    Kiswahili ni "hela za makaratasi" kwa kiingilishi ndio noti (andika kwa kiingilishi).

    Wadau mambo zenu, Michuzi kazi nzuri.

    ReplyDelete
  2. infwakt noti ni jina kiingereza NOTE ambalo tumeligeuza kuwa kwa kiswahili so noti ni NOTE kwa kiinglish....

    ReplyDelete
  3. Noti kwa kingereza na BILL,

    ReplyDelete
  4. Cheki mkorogo ulivyo kubali hapo ndio wazaire wnavyo niacha hoi

    ReplyDelete
  5. It's called a Bill.

    ReplyDelete
  6. noti ni bill kwa kiingereza

    ReplyDelete
  7. michuzi, noti kwa lugha ya wazungu wa kiingereza inaitwa "BILL" ie..A Dollar Bill, $ 10 dollar nk..upo hapo ?

    ReplyDelete
  8. sarafu=coin
    noti=paper curency

    ReplyDelete
  9. Michuzi wasikuyayushe hao, NOTE ni British English na BILL ni American English.

    ReplyDelete
  10. A.Town hizi noti zinaitwa "Vyeti au maji

    ReplyDelete
  11. kwa kiingilishi fasaha (british english) zinaitwa “bank notes”. Na zilitwa hivyo kwa makusudi ili kuzitofautisha na notisi za kwenye daftari. Upo hapo?

    ReplyDelete
  12. NOTI KWA KISWAHILI AU KIINGEREZA NI KIDAGALA MKIA MNAKULA SANA KULE KWENU UMAKONDENI. KILA KITU WEWE ITS NOT RICHABO. NUNUA KAMUSI YA KISWAHILI-ENGLISH BASI. NYODO.

    ReplyDelete
  13. hawa jamaa wa zaire inaonekana hela haina thamani kabisa,hapo usishangae hiyo ni hela ya mlo mmoja.

    ReplyDelete
  14. Tusaidiane ili tupate picha kamili.Kumradhi kwa wale walio ktk swaumu!

    Hivi DRC bia ni sh ngapi?

    naomba wale waliowahi tembelea huko hivi karibuni watujulishe.
    hapa nyumbani kwa sasa bia za hapa home ni buku hadi buku na jiti -1100/= ktk bar za kawaida za wazalendo.

    ./

    ReplyDelete
  15. michuzi mimi sio hao wenye longo longo. huwa sipendi kutoa comments maana watu wengi hapo wana boa.
    Mwanzo nitapenda wabongo waheshimu watu hii ubaguzi wa Kabila, sijui majina ya mabox its all waste of time. huyo mdosi ni Mtanzania musisahau citizenship inapatikana by birth or naturalization na mtu akiwa katika hizo categories anagombea u miss Bongo bila ya was was.
    Tatu siku hizi Dunia imechanganyika Wazungu wengine ni shemeji zenu sio wa dating wamewaolea dada zenu. mukitaja watu tajeni sehemu waliotoka kwani mkitaja e.g mwafrica ametoka wapi? tajeni sehemu.
    NA JIBU SWALI:
    SARAFU NI COIN / COINS
    NOTI NI NOTES KIINGEREZA
    NOTI NI BILL KIMAREKANI
    hivyo inategemea unaongea English or american

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...