timu ya taifa ya ufaransa wmaka 2006 kwenye kombe la dunia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hii kiboko, wazungu watatu timu nzima, rais wa ufaransa Nicolas Sarkozy inabidi aangalie hii picha halafu aongee kuhusu kuthibiti "immigrants". Timu nzima imejaa weusi wenye asili yao Africa.

    ReplyDelete
  2. Haa haa Bwana Michuzi, Ufaransa inafurahisha sana. Maana timu nzima weusi wazungu watatu tu. Kuna mwanasiasa moja wa upinzani nchini Ufaransa naitwa Jean Marie Leapen aliwahi kukaririwa akisema kwamba hapo hakuna timu ya taifa. Maana wote hao weusi ni wahamiaji.

    Mzee wa TBS

    ReplyDelete
  3. utajijumisupu, sijui unataka kutuambia nini!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  4. so what????Kama weusi wamejazana kwenye timu ya ufaransa kuna tatizo gani,kwani uraia wao ni wa wapi?Acheni ujinga wenu wa kibongo.Hao wote ni wafaransa,kina henry,malouda,vieira,zinade nk wamezaliwa au kukulia ufaransa na wana uraia.Quit kissing white people behind.

    ReplyDelete
  5. siku zote wabongo ni ma racist,hakuna kingine mlichoona bali weusi tu.hamuwezi kuchangia pointi ya maana bila ubaguzi.ndo hayo hata miss Tz wmamuita si mtanzania.wabongo wake up .badilika maana mambo yanabadilika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...