msanii vitali maembe a.k.a sumu ya teja anakaribia kutoa albamu yake ya pili kufuatia hii ya 'bagamoyo' ambamo kibao 'sumu ya teja' kimo. habari zake zaidi bofya hapa na hapa ama wasiliana naye kupitia vitalimm@yahoo.com utampata. hata kwenye myspace yumo na utampata ukibofya hapa huyu bwana ni msanii mwenye vipaji vingi ambaye ni mmoja wa matunda ya chuo cha sanaa bagamoyo. yeye pia ni mchiraji hodari sana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. He is a true artist,sio hao wengine wanag'ang'ania kutukanana tu na kupiga makelele kwenye muziki.
    Keep u the Good work bro! We admire you!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...