heri ya krisimasi na mwaka mpya toka hoteli ya movenpick, dar, kwa wateja wetu na wadau wooooooooote wa globu hii ya jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Michuzi.

    Mdau wako akupa salamu za XMASS na Mwaka mpya, naomba uposti hii Joke..

    Husband: (Returning late from work)
    "Good evening dear, I'm now logged in."
    Wife: Have you brought the grocery?
    Husband: Bad command or filename
    Wife: But I told you in the morning.
    Husband: Erroneous syntax. Abort?
    Wife: What about my new TV?
    Husband: Variable not found...
    Wife: At least, give me your Credit Card, I want to do
    some shopping.
    Husband: Sharing Violation. Access denied...
    Wife: Do you love me or do you only love computers, or
    are you just being funny?
    Husband: Too many parameters...
    Wife: It was a great mistake that I married an idiot
    like you.
    Husband: Data type mismatch.
    Wife: You are a useless.
    Husband: It's by Default.
    Wife: What about your salary?
    Husband: File in use... Try after some time.
    Wife: What is my value in the family?
    Husband: Unknown Virus.

    By Mchangiaji.

    ReplyDelete
  2. Wabeba Boksi hii haihusiani na picha ila naomba mcheki . (http://wabebaboksi.blogspot.com)


    mbebaboksi

    ReplyDelete
  3. wew na blog yako hiyo sijui wabeba mabox...That is just wastage of time...Huna haja ya kumwonyesha mtu what you do...fanya vitu vyako vionekane sio picha tu ...Kazi ni kazi bora mkono uingie kinywani....Wew unaweza unafanya kazi ya Officini lakini maendeleo yako ni madogo kuliko huyo anayefanya manual labour.....Maisha ni mpangilio ndugu yangu...

    Sioni sababu ya hiyo blog yako real ni ya kitoto na sio watu wenye akili zao wanye waweke maisha yao huko ili kuonyesha watu wanaoishi bongo.


    Grow up haya mambo ya wala vumbi na wabeba mabox ni just a joke sasa wewe kama unachukulia serious you real need a life.

    Merry Christmas

    ReplyDelete
  4. wew na blog yako hiyo sijui wabeba mabox...That is just wastage of time...Huna haja ya kumwonyesha mtu what you do...fanya vitu vyako vionekane sio picha tu ...Kazi ni kazi bora mkono uingie kinywani....Wew unaweza unafanya kazi ya Officini lakini maendeleo yako ni madogo kuliko huyo anayefanya manual labour.....Maisha ni mpangilio ndugu yangu...

    Sioni sababu ya hiyo blog yako real ni ya kitoto na sio watu wenye akili zao wanye waweke maisha yao huko ili kuonyesha watu wanaoishi bongo.


    Grow up haya mambo ya wala vumbi na wabeba mabox ni just a joke sasa wewe kama unachukulia serious you real need a life.

    Merry Christmas

    ReplyDelete
  5. Nasikia kakakola hapo sawa na mshahara wa mwezi mzima!!!

    ReplyDelete
  6. muvenipiki leo mmejileta wenyewe kwenye anga zangu sasa ngoja niwape vipande vyenu.hivi lini mtaacha ubaguzi kwenye hoteli yanu?iweje hamtaki so called 'watu wa nje'(mkimaanisha sisi wakalamba) tusiogelee kwenye li swimming pool lenu.kwani tunaogelea bure si tunalipa?au mnafikiri tutawaibia wateja wenu?mbona wazungu ambao si wakazi hotelini mnawaruhusu?acheni hizo,hapa ni bongo sio sauzi ya botha na verwood!

    ReplyDelete
  7. Wala watu wanapaogopa bure tu! Unaweza kwenda kupata mlo wa christmas hapo. Ila Buffet ni expensive kama kawaida yake lakini sio expensive saana.

    Sie huenda hapo kwa quick lunch (pasta, sandwich na burger) nayo wala sio bei ya kuogofya. Inategemea na mshahara wako ila bei ya soda ni sawa na hotel nyingine za kitalii. Mara moja kwa mwaka haigombi. Ila wabongo hatuna utamaduni wa kupata dinner nje ya nyumba kabisa, out zetu ni dansi na disco. Ingekuwa Bondeni kila siku pangekuwa panajaa watu kwa dinner.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...