kocha wa timu ya bunge fc mh. joel bendera akitoa mawaidha wakati wa haftaimu timu hiyo ilipocheza na timu ya baraza la wawakilishi zenj na kubugia moja mtungi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Bwana michuzi naomba niulize labda mi ndio naweza kuwa sijui vizuri swahili. Katika kauli ya kusema timu ya Bunge ilibugia goli moja sijui hii ni sahihi kwani kwa mfahamu wangu neno "BUGIA" ni kula au kumeza kitu zaidi ya kimoja sasa kwa kauli yako hiyo uoni kama kuna makosa? na kama ni sahihi ukiwa kama mwana blog huoni makosa kama haya yakiwa yanaendeleo si tutakuwa tukipotosha usahihi wa lugha yetu hii ya kiswahili? Ahsante ni mimi mdau nipo hapa UKEREWE

    ReplyDelete
  2. hivi wewe mdau mbeba mabox auoni hata wewe ujui kiswahili KWAMBA YAKIWA YANAENDELEO AU YAKIWA YANAENDELEA,fara tu kabebe box huko

    ReplyDelete
  3. shehe adam nakuona ndugu yangu, mie namaliza maliza hapa madrid inshaalah will be in dar on 17th usiku...

    ReplyDelete
  4. shehe adam sijui kacheza zote 90 au 45 afu katoka nje , brother Jeff ongeza ujuzi tunataka mkirudi mkafungue Singida Airport

    ReplyDelete
  5. yaani kuachia kocha mpaka wachezaji sura zinaonekana pombe tupu na supu,na wameshachoka wanataka muda uishe inaonekana maana kuwarudisha uwanjani ni kuwaua tuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...