kama kuna mahali wanakoshabikia ligi kuu ya ukerewe kwa nguvu zote basi ni zenj...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi ulimwuliza mmiliki wa hiyo 'centre' kama ana haki za kufanya hizo kazi alizotangaza hapo ukutani? Kuingiza nyimbo kwenye simu,ku'burn cds' n.k

    ReplyDelete
  2. wewe mpuuzi hapo juu usituletee mambo yako ya haki miliki hapa. Usijifanye unajua sana mambo ya kibwegebwege, watu wanaganga njaa kivyaovyao na kama wewe imekuuma sana wape taarifa hao wanaomiliki hizo haki miliki zako.

    Hiyo timu ya manure inapendwa sana na hasa na wamangakoko wa kibongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...