
kwa mujibu wa taarifa kutoka Benki Kuu Ya Norway imetaarifu kuwa noti zaKroner 50 zenye picha ya Aasmund Olavsson Vinje, zilizotengenezwa kwenye kipindi cha mwaka 1984 na 1996, mwisho wa kutumika ni mwezi Januari mwaka huu tarehe 28.
kwa hiyo wadau wanashauriwa kuzibadili kabla ya tarehe iliyotajwa hapo juu.Kwa maelezo zaidi piga simu
Benki Kuu Norway
+47 22 31 60 00.
Jamani hivi kuna watu ambao bado wanatumia nyumba zao kama benki?
ReplyDeleteYeah, Mimi mmoja wapo lakinisina hiyosijui kroner
ReplyDeletemdau -USA
Sasa hiyo taarifa unayotutupa ina faida gani kwetu hapo mwananyamala au gongo la mboto? au unajifuna uko kule ughaibuni ukidoea hizo korona?
ReplyDelete