Jina la Dr.Willibrod Peter Slaa (pichani akiwa wima akiteta na mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe na Mbunge machachari Mh. Zitto Kabwe), Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Karatu, hivi sasa linaweza kuwa jina ambalo linatajwa zaidi kushinda lingine lolote katika anga za kisiasa nchini Tanzania. Pata habari zake kamili kwa kubofya hapa
Home
Unlabelled
mwandani wa dr. willibroad slaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Nimesoma CV yake lakini sioni wapi na lini alitunukiwa PhD na kujinyakulia title ya Dr. au ndo ule u-Dr wa kujizoelesha???
ReplyDeletesafi sana michuzi kwa kuniwekea picha ya hawa wazalendo wenye uchungu na tanzania, i wish viongozi wetu wote wa serikalini wangekuwa kama hawa jamaa, basi tungefika mbali sana..
ReplyDeletemtu yeyote anayeweza kusimama kidete dhidi ya ufisadi kama huyu bwana ni Dr kuliko mbongo yeyote mwenye PhD za MIT, Makerere, Cambrisdger n.k.
ReplyDeletehuyu Mbowe amebondwa..jicho la kushoto hapo ..
ReplyDeleteVichwa hivyo balaa!! bila ya hao wazalendo tusingejua chochote kuhusu ufisadi unaoendelea nchini (Buzwagi, BoT,n.k) we need them. Na kile chama kilichotuma wajumbe nchi nzima kusafisha hali ya hali hewa naona kimyaaa kabisa. Kitume tena wajumbe kikawaambie ukweli. SIASA BWANA UZUSHI MTUPU. Tutamshtaki... nani wa kumshtaki. Na sasa nasikia wamejigawia mikataba ya muda mwingi kuendesha shughuli za makontena bandarini hata kabla mkataba wa awali haujaisha. Hao hao wanaodai ndege inapaa, maisha bora kwa kila mtanzania na kugawana sote 'kanyama ka sungura'.
ReplyDeleteHii mtu tatu safi sanaaaaa!!!fichua siri kaka zetu..LAKINI NANI KANIBONDEA RAISI WANGU MBOWE JAMANI?
ReplyDeleteNipeni mwanafunzi wa sekondari Bungeni mwenye uchungu wa nchi kuliko mr PHDr' au luba anayenyonya damu za binadamu, au kwa vingine phd anayekula pesa za watoa jasho bila kujali. watu wanakufa kwa ajili yakukosa matibabu hospitalini tanzania na hapo hapo pesa hizo hizo za serikali zinaliwa na mtu mmoja, Daud hata Mungu hutamuona, kama kweli Mungu yupo.
ReplyDeletehawa ndo wapinzani wa kweli, sio kina bwana mrema wanatuchanganya tu, na ndo wanaomaliza upinzani wanaonakana ni warpokaji tu kwa ishu hata ambazo hawana vithibitisho! lakini hawa jamaa tunaona siri wanazozitoa na vikiambatana na detailz, sio hawa wengine longolongo tu
ReplyDeletekazeni buti wapinzani, kwani hamna leo hii mtu aliyekuwa anategemea kuwa mtu mweusi anaweza akasimama mbele ya kadamnasi ya wazungu wamsikiliza na akaeleweka anachokiongea, lakini tunameona yanayoendelea marekani nikiwa namaanisha obama, kwahiyo kama kweli mna uchungu na hii nchi yetu, basi ipo siku wananchi wahata sita kuwapa dhamana ktk nchi yetu inayonuka uovu! 'yes we can'
ReplyDeleteTunahitaji wabunge kama hawa both from CCM and vyama vya upinzani ili kuweza kudhibiti serikali inayotawala kama hamna katiba na sheri Tanzania. Tumechoka na rubber stamps za CCM na serikali bungeni.
ReplyDeleteDr. Slaa ni vile aliwahi kuwa Padre na ubongo wake unahekima za kutosha hivyo uamuzi wa kuhamahama vyama ovyo kama akina naniniii hana lakini kuna tabia mbaya sana CHADEMA, tena sana haswa kwa hao wenye vijipesa na walikuwa "founder members wa CHADEMA" kwanza wanarithishana madaraka kiukoo kama si ki-wakwe pili wanapeana ubunge kifamilia.
ReplyDeleteSlaa hapendi mambo hayo lakini alishajitosa kwenye hicho chama kutetea nchi yake na hataki kuonekana anatamaa yoyote kwa kuhamahama.
WITO kwa CHADEMA msiwe na tabia za ajabu ajabu kupeana madaraka kiukoo/kikabila.
Heshimuni Katiba! Acheni Ubabe,
Kwa maneno mengine mafisadi wa BoT wapo CHADEMA pia, tena hao hao wanaojiita "founder members" chunguzeni taratibu.
Ehhh bwana ehh.... hawa hawaaminiki hapo wanatafuta wapate madaraka then baadaye hawatakuwa na tofauti na hao waliokuwa madarakani kwa sasa
ReplyDeletePesa ina-change mtu nakusahau ulikotoka
Embu michuzi tuulizie na ile kesi yake Dr na rafiki yake wa karibu huko Karatu (tuone kama kweli wanafuata haki kwa mengine) kitanda usichokilalia hujui ......
hawa hawana lolote wanatafuta mishen tu wameona sasa hivi mpango wa hela siasa wakipata habari zitakuwa mbaya kuliko ccm wangeendelea kupiga disco watu wacheze wasilete mazabe
ReplyDeleteFrom the Church to the State House(Slaa),From a DJ to a Vice President(Mbowe),From a commonner to a Prime Minister(Kabwe), Ohh! what a dream ticket that is!! Wanawane,remember the trio in 2010.
ReplyDelete