dawa aina ya limbwata kwa kabila moja la pwani ya mashariki huwekwa kwenye kibuyu namna hii kwa mujibu wa mwandaaji wa maonesho ya sanaa za kiafrika ambaye anajiandaa na mkutano wa sullivan utaofanyika hapa a-taun mwezi juni na maandalizi yamepamba moto. ofisi za uratibu za sullivan zimeshahamia a-taun toka dar na ziko aicc ubawa wa ngorongoro. mengine ya mkutano huo nenda http://www.thesullivansummit.go.tz/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Sasa hii Limbwata ya wapi tena? Siyo limbwata hiyo! Limbwata feki!

    ReplyDelete
  2. Mmmmh!! mbona juu kama imefunikwa na "ZAKHARR" au Macho yangu.....
    Msaada sheli...

    ReplyDelete
  3. Duh we Michuzi acha kutuyeyusha bwana.....Limbwata haliwekwi kwenye kibuyu bali husondekwa kule uvunguni mupendwapo na wengi (Midume).

    ReplyDelete
  4. siku hizi hamna limbwata michu , limbwata vipi wakati watu wanaingia self- service wenyewe wanaita chumvini! ? limbwata zamani bosi siku hizi wanaume mnakula live!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...