Mdau wa Mwanza katuletea hii kuonesha moja ya vyumba vya hotel vieleavyo katika ziwa victoria jijini humo.anasema huu ni ubunifu unaotakiwa kuigwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Sawa ni ubunifu, ila sasa vinyesi vyaenda wapi? au ndo ubunifu wa kuchaua maji?

    ReplyDelete
  2. Anon wa kwanza we ukiona watu wanapanda meli au KARUA(jahazi/dau) unafikiri wanajisaidia wapi? au wale wavuvi na ndugu zetu wanaoishi kando ya ziwa au bahari, sasa nakuomba uanzie huko sio hapa kwenye huu ubunifu

    ReplyDelete
  3. Huu si ubunifu,ni mambo ya kuiga tu ulaya.nimeona restaurant 2 zinazoelea huku kwa wenzetu,ila bongo wanaonekana tilapia hotel ni wabunifu,

    ReplyDelete
  4. Yeah right, ubunifu sio? nakumbuka issue ya MV Bukoba ilitokea kwenye ziwa hilohilo. Imagine umepata chumba na mamaa then asubuhi mnaamka mnajikuta mko ufukweni bila nguo, chanzo kuwa boti ilikuwa na TUNDU hivyo kusababisha tafarani...

    SANGARA

    ReplyDelete
  5. PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.............



    OUR JF< JF JF I MEAN JAMBO FORUMS IS B.A.C.K

    HAHAAAAAAAAA...

    "CHECK THIS OUT, WENYE WIVU WAJINYONGE BABAAAA.. WENYE WIVU WAJINYONGEEE"-SAIDA KAROLI

    http://www.jambonetwork.com/jamboforums/forumdisplay.php?f=6

    ReplyDelete
  6. Kwa bongo ni ubunifu. Sie ambao hatujaendaga maulaya tungejuliaga wapi??

    Chumba ni kizuri ila kuna wakati tulilala hapo usiku mvua ikanyesha...kulivuja balaaaa!! Kwiii kwwiiii!
    Sijui wamesharekebisha??

    ReplyDelete
  7. Namuunga anon wa kwanza na ninampinga anon wa pili, sawa kwenye meli wajisaidia humohumo lakini ieleweke meli yatembea yakhe wakati ukiangalia vizuri hiyo picha juu utaona vizingiti chini ya ubunifu hou,ikimaanisha swala la usafi wa mazingira lahitaji ufafanuzi!!!

    Mikanjuni.

    ReplyDelete
  8. Watu wanaolala humo wajiangalie maana pia kuna jini linaitwa Sarafina mwe!!!!!!!!., je wamefuata vigezo vya mahesabu yaani hiyo meli ina uwezo wa kubeba mzigo kiasi gani na tena unaongezea nyumba juuuuuuuuuuu, mhn mi nina mashaka hapa...........

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...