".....jumbee, nipeleke kwetu jumbe...sina pa kulala, nimechoka sana, nipeleke kwetu jumbe..." ndivyo anavyoimba babu njenje kwenye shoo yao klabu ya msasani, nyuma ya ubalozi wa marekani. leo njenje wapo kama kawaida hapo msasani, baada ya kukosekana jumamosi ilopita kutokana na ugeni mzito wa rais bush. hivi tunavyoongea bendi hii inandelea na sherehe zake za mwaka mzima za kutimiza miaka 35, na inakaribia kupakua vibao vipya kadhaa ambavyo ndivyo vinatamba hivi sasa kwenye maonesho ikiwa ni pamoja na 'kisebusebu na kiroho papo' ambacho kimeshika kweli
".....jumbee, nipeleke kwetu jumbe...sina pa kulala, nimechoka sana, nipeleke kwetu jumbe..." ndivyo anavyoimba babu njenje kwenye shoo yao klabu ya msasani, nyuma ya ubalozi wa marekani. leo njenje wapo kama kawaida hapo msasani, baada ya kukosekana jumamosi ilopita kutokana na ugeni mzito wa rais bush. hivi tunavyoongea bendi hii inandelea na sherehe zake za mwaka mzima za kutimiza miaka 35, na inakaribia kupakua vibao vipya kadhaa ambavyo ndivyo vinatamba hivi sasa kwenye maonesho ikiwa ni pamoja na 'kisebusebu na kiroho papo' ambacho kimeshika kweli

Jamani Njeenjee haa! Mashaaah
ReplyDelete